Posts

Showing posts with the label forestry sector

THINK FORESTS- WHY INVESTING IN FORESTS IS THE NEXT BIG THING.

Image
Why are so many governments, communities and businesses turning their attention to forests? From meeting climate goals and coping with extreme weather, to boosting livelihoods and greening supply chains, forests are becoming an essential part of the development solution. Join us for a spirited discussion about exciting initiatives benefiting forests and the people who depend on them. Think forests- Why investing in forests is the next big thing.

USIYOYAJUA HUHUSU KILIMO CHA MITI

Image
Tree Farmers from Sapanda village in Ileje sells the unpotted Pines seedlings in Isangati village in Mbeya rural, Feb2015. Kilimo cha miti kimepata umaarufu wa ghafla miaka ya hivi karibuni kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo ya ongezeko la mahitaji ya mazao ya miti na changamoto ya mazingira. Katika Tanzania, Mkoa wa Iringa ni moja ya mikoa maarufu inayoongoza kwa misitu mikubwa ya kupandwa. Miti inatumika kwa mbao, nguzo za umeme, nguzo za kujengea nyumba na utengenezeaji wa karatasi. Ukiacha mahitaji haya tuliyoyazoea hivi sasa kumeibuka fursa nyingine mpya ambako mashirika ya kimazingira kutoka Magharibi yananunua hewa ukaa (carbon dioxide). Kwa maana hiyo unaweza kupanda shamba la miti halafu ukawa unakusanya dola kwa kuuza hewa ukaa wakati ukisubiri miti ikomae uvune mbao, nguzo au miti ghafi ya kutengenezea karatasi. Binafsi niliichangamkia biashara hii miaka minne iliyopita na 'I'm real serious with it'. Nimejiwekea lengo la kupanda ekari 20 kila mwaka...

UWEKEZAJI BORA KWA MAZAO BORA YA MITI

Image
Uwekezaji Bora. Uwekezaji wa kupanda miti unachukua muda mrefu kidogo ukilinganisha na mazao mengine ya nafaka hivyo toka muda wa kupanda inaweza kuchukua si chini ya miaka minne kwa Mikaratusi/Milingoti/Eucalyptus na miaka nane hadi kumi kwa Mipaina/Pines ndiyo uanze kuvuna. Unatakiwa kwenda nayo taratibu hivyo kila mwaka unaweza kupanda miti kiasi/heka chache ili utakapoanza uvunaji uendelee kuvuna kila mwaka na kupanda tena ulikovuna. NB: Lakini pia hili linategemea na malengo binafsi au kulingana na kipato cha uwekezaji. Kuhusu gharama za kununua na kupanda Miti zinatofautiana kufuatana na sehemu/mahali husika. Lakini kichocheo kikubwa huwa ni miundombinu na hali ya hewa nzuri kwa ustawi wa Miti. Kwa wakati huu maeneo mengi yenye rutuba na miundombinu nzuri yamepata wateja wengi na kupelekea wamiliki kupandisha bei ya Ardhi katika miaka ya hivi karibuni. Bei ya hekali moja kwa sasa inaanzia TSh 70,000/= kwa maeneo yaliyo mbali zaidi lakini inafika hadi 300,000/= kwa...

KWANINI UWEKEZE KWENYE SEKTA YA MISITU?

Image
Kuna fursa iliyopo ya uwekezaji katika sekta ya misitu na msukumo wa ukuaji wake endelevu, unaowahakikishia wakulima wadogo na wakubwa kutumia fursa shindanishi katika biashara ya mbao, nguzo, mirunda na nishati katika kujenga uboreshaji wa uchumi, mazingira, na jamii. Yafuatayo ni mambo MATANO muhimu kuzingatiwa katika uwekezaji katika sekta ya misitu; 1    Mahitaji ya Miti Kuongezeka. Kufikia mwaka wa 2030, mahitaji ya mbao yataongezeka kwa mara mbili ya hali ya sasa na yamekuwa yakiongezeka siku hadi siku kwa sababu misitu kupungua, maendeleo ya bidhaa za misitu na idadi ya watu inazidi kuongezeka. Hata hivyo hadi sasa mahitaji ya nishati na karatasi bado kwa kiasi kikubwa yanategemea mazao ya miti. 2 .     Bei ya Miti Kuongezeka Zaidi. Kuadimika kwa mazao ya misitu sokoni kama vile mbao, nguzo, mirunda, kuni na bidhaa nyingine za miti kunapanua fulsa ya biashara na thamani ya uwekezaji katika sekta ya misitu nchini. Mti huongezek...